TADIO
Tanzania Development Information Organization
Monday, April 9, 2018
Kutoka Masasi
Ubovu wa barabara katika Halmashauri ya mji wa Masasi na kijiji cha Mkarango ambacho kimo ndani ya halmashauri ya mji. Mpiga picha ameshuhudia hali hii hivi leo hii inahatarisha maisha ya wakazi wa maeneo kwa kiwango kikubwa sana.
Newer Post
Older Post
Home